Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 30
JUMA LINALOANZA JUNI 30
Wimbo 5 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 9 ¶8-20 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 14-16 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: “Tenda kwa Uharaka.” Hotuba. Baada ya hotuba, panga kuwe na onyesho fupi la jinsi ya kuanzisha funzo la Biblia katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Julai. Tumia pendekezo lililo kwenye ukurasa wa 8.
Dak. 20: Funzo la Kibinafsi Huwaimarisha Wahudumu. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 27-32. Mhoji mhubiri mwenye mazoea mazuri ya kujifunza.
Wimbo 69 na Sala