Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 7
JUMA LINALOANZA JULAI 7
Wimbo 99 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 9 ¶21-24, sanduku kwenye uku. 96 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 17-20 (Dak. 10)
Na. 1: Mambo ya Walawi 19:19-32 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Wakristo Watiwa Mafuta, au “Watakatifu,” Hawako Huru Kutokana na Dhambi—rs uku. 408 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Wakristo Wanapingwa? —td 38A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Julai. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi magazeti yanavyoweza kutolewa, kwa kutumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa huu. Kisha, changanua mapendekezo hayo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Malizia kwa kuwatia moyo wote wayasome magazeti vizuri na wayatoe kwa shauku.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Ishughulikiwe na mwandishi. Zungumzia mambo yaliyotimizwa wakati wa majira ya Ukumbusho, na uwapongeze wahubiri kwa bidii yao. Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa yenye kupendeza ambayo walifurahia walipokuwa wakigawa mialiko ya Ukumbusho, au walipokuwa wakifanya upainia msaidizi.
Wimbo 123 na Sala