Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 25
JUMA LINALOANZA AGOSTI 25
Wimbo 112 na Sala
cl sura ya 12 ¶1-8 (Dak. 30)
Usomaji wa Biblia: Hesabu 14-16 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
Dak. 5: Mambo Yaliyoonwa Katika Eneo Lenu. Panga kuwe na igizo la jambo moja au mawili yaliyoonwa yanayoonyesha mhubiri akizungumza kwa ujasiri kuhusu Ufalme. Zungumzia kwa ufupi andiko la Waebrania 6:11, 12, ukikazia umuhimu wa kuwa na bidii katika kuutangaza Ufalme.
Dak. 10: Kufafanua Maana ya Ufalme—Sehemu ya 1. Hotuba itolewe na mzee ikitegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 280, fungu 1-4.
Dak. 15: Kufafanua Maana ya Ufalme—Sehemu ya 2. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 280, fungu la 5, hadi ukurasa wa 281, fungu la 1. Tia ndani onyesho la mhubiri anayejadiliana na mtu ili kuthibitisha kwamba Ufalme ni serikali halisi.
Wimbo 101 na Sala