Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 8
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 8
Wimbo 133 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 12 ¶16-21, sanduku kwenye uku. 127 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 22-25 (Dak. 10)
Na. 1: Hesabu 22:36–23:10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Shetani Si Uovu Tu Ulio Ndani ya Watu —rs uku. 270 ¶4–uku. 271 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kuna “Wema Katika Dini Zote”? —td 15B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: Uwe Mwenye Adabu Unapohubiri. (2 Kor. 6:3) Mazungumzo yanayotegemea maswali yafuatayo: (1) Kwa nini ni muhimu kuwa wenye adabu tunapohubiri? (2) Tunaweza kuonyeshaje kwamba tuna adabu (a) kikundi chetu kinapofika katika eneo? (b) tunapotembea au kuendesha gari kutoka nyumba moja hadi nyingine? (c) tunapokuwa mlangoni? (d) mhubiri mwenzetu anapotoa ushahidi? (e) mwenye nyumba anapozungumza? (f) mwenye nyumba akiwa na shughuli nyingi, au kunapokuwa na hali mbaya ya hewa? (g) ikiwa mwenye nyumba hatutendei kwa fadhili?
Dak. 15: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuweka Msingi wa Ziara za Kurudia.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho la mhubiri anayejizungumzia akiwa anajitayarisha kwa ajili ya utumishi na anaandaa swali atakalojibu kwenye ziara ya kurudia ikiwa mwenye nyumba atakubali magazeti.
Wimbo 68 na Sala