Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 15
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 15
Wimbo 105 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 13 ¶1-10 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 26-29 (Dak. 10)
Na. 1: Hesabu 27:15–28:10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mungu Hakumuumba Ibilisi —rs uku. 271 ¶3 (Dak. 5)
Na. 3: Neno la Mungu Limeongozwa na Roho—td 1A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: Tumetimiza nini? Hotuba itolewe na mwangalizi wa utumishi. Pitia utendaji wa kutaniko wa mwaka wa utumishi uliopita, kutia ndani kampeni ya pekee ya mwezi wa Agosti. Kazia mambo mazuri yaliyotimizwa, na uwapongeze wahubiri. Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo katika mwezi wa Agosti, na mhoji mhubiri ambaye aliongeza utendaji wake. Malizia kwa kutaja sehemu moja au mbili za huduma ambazo kutaniko linaweza kufanyia kazi katika mwaka wa utumishi unaofuata, kisha utoe mapendekezo ya jinsi ya kuboresha sehemu hizo za utumishi.
Dak. 15: “Wachukueni Manabii Kuwa Kielelezo—Nahumu.” Maswali na majibu.
Wimbo 46 na Sala