Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Katika mwezi wa Aprili kulikuwa na Kusanyiko la Pekee la kwanza la lugha ya ishara (KSI). Kulikuwa na wahudhuriaji 395, kati yao 115 walikuwa viziwi, na 6 ambao wote ni viziwi walibatizwa.
Uganda: Ripoti ya utumishi wa shambani ya Machi 2014, inaonyesha kwamba kulikuwa na ongezeko. Kulikuwa na kilele kipya cha wahubiri 6,468. Pia, kulikuwa na vilele vipya vya magazeti, ziara za kurudia, na mafunzo ya Biblia.