Ratiba ya Juma la Oktoba 13
JUMA LINALOANZA OKTOBA 13
Wimbo 8 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 14 ¶10-15 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 4-6 (Dak. 10)
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 4:29-43 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mabadiliko Ambayo Lazima Yafanywe ili Kumpendeza Mungu—rs uku. 236 ¶2–uku. 237 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Sala Fulani Hazifai?—td 29B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Inamaanisha Nini Kuhubiri Tukiwa na Hisi ya Uharaka? Hotuba yenye kusisimua inayokazia andiko la 2 Timotheo 4:2. Tumia habari iliyo katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Machi 15, 2012, ukurasa wa 16-17, fungu la 7-9.
Dak. 10: Kwa Nini Kazi Yetu ya Kuhubiri Ni ya Haraka? Hotuba itolewe na mzee ikitegemea habari iliyo katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Machi 15, 2012, ukurasa wa 15-16, fungu la 3-6, na ukurasa wa 17-18, fungu 14-18. Kazia jinsi mfululizo wa makala zenye kichwa “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma,” zinazopatikana katika Huduma Yetu ya Ufalme, zinavyoweza kutusaidia kuhubiri tukiwa na hisi ya uharaka.
Dak. 15: “Tumia Fursa Unazopata Kueneza Ujumbe wa Ufalme!” Maswali na majibu. Mnapozungumzia fungu la 3, waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa walipokuwa wakihubiri isivyo rasmi. Malizia kwa kuzungumzia kichwa cha mwezi huu. Watie moyo wasikilizaji wasome makala mbili zenye kichwa “Mazungumzo Pamoja na Jirani” zitakazozungumziwa katika Mkutano wa Utumishi wa juma lijalo.
Wimbo 97 na Sala