Ratiba ya Juma la Oktoba 27
JUMA LINALOANZA OKTOBA 27
Wimbo 5 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 15 ¶1-10 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 11-13 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: “Jinsi ya Kusitawisha Hisi ya Uharaka Katika Kazi ya Kuhubiri.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho la mhubiri anayetoa kitabu Biblia Inafundisha au trakti.
Dak. 15: Jitayarishe Vizuri ili Uhubiri kwa Hisi ya Uharaka. Mazungumzo yanayotegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Agosti 15, 2014, ukurasa wa 14-15, fungu la 14-20. Waulize wasikilizaji kuhusu habari au maswali yanayowahangaisha watu katika eneo lenu. Tunawezaje kushughulikia mahangaiko yao katika huduma yetu? Panga kuwe na onyesho la mapainia wawili au wenzi wa ndoa wanaotumia habari hiyo kutayarisha utangulizi utakaowavutia watu katika eneo na wanaweza kuchagua chapisho watakalotoa.
Wimbo 95 na Sala