Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 12
JUMA LINALOANZA JANUARI 12
Wimbo 114 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 18 ¶20-24, sanduku kwenye uku. 188 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 21-24 (Dak. 8)
Na. 1: Yoshua 24:14-21 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Wakristo Wanapaswa Kufunga Ndoa na Wakristo Tu—td 26D (Dak. 5)
Na. 3: Yehova ni Muumba Mwenye Nguvu Zote—igw uku. 2 ¶4-uku. 3 ¶1 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Mtumikie Bwana kwa unyenyekevu mkubwa.’—Mdo. 20:19.
Dak. 10: Mtumikie Bwana kwa Unyenyekevu Mkubwa. Mazungumzo. Soma Matendo 20:19. Kisha waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu maswali yafuatayo: (1) Neno “tumikia” linadokeza nini? (2) Tunaweza kumtumikia Bwana, Yesu Kristo, katika njia zipi? (3) Unyenyekevu ni nini? (4) Unyenyekevu unatusaidiaje kutimiza huduma yetu?
Dak. 20: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kushughulika na Mwenye Nyumba Mwenye Hasira.” Mazungumzo. Baada ya kuzungumzia makala, panga kuwe na onyesho fupi lenye sehemu mbili linaloonyesha hali halisi katika eneo. Katika sehemu ya kwanza, mhubiri anamjibu mwenye nyumba mwenye hasira kwa njia isiyofaa. Katika sehemu ya pili, mhubiri anajibu kwa ustadi zaidi. Watie moyo wote wafuate madokezo yaliyo chini ya kichwa “Jaribu Dokezo Hili kwa Mwezi Mzima.”
Wimbo 76 na Sala