Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 2
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 2
Wimbo 109 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 19 ¶18-23, sanduku kwenye uku. 198 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 8-10 (Dak. 8)
Na. 1: Waamuzi 8:13-27 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Ni Nani Aliyeandika Biblia?—igw uku. 6 ¶1-5 (Dak. 5)
Na. 3: Biblia Inaonyesha Kwamba Maria Hakuwa “Bikira Sikuzote”—td 8B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Mtumikie Bwana kwa unyenyekevu mkubwa.’—Mdo. 20:19.
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Februari. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi magazeti yanavyoweza kutolewa kwa kutumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa huu. Kisha zungumzia mapendekezo hayo kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia madokezo yaliyo kwenye makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kushughulika na Mwenye Nyumba Mwenye Hasira.” Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa yenye kupendeza.
Wimbo mpya “Tupe Ujasiri” na Sala
Kikumbusho: Tafadhali sikilizeni kwanza muziki wa piano, kisha mwimbe wimbo huo mpya.