Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 23
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 23
Wimbo 21 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 20 ¶16-21, sanduku kwenye uku. 207 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 19-21 (Dak. 8)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: Uwe na “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”!—Tito 2:14.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Uwe na Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli Kama Yesu. Hotuba inayotegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Mei 15, 2013, ukurasa wa 8, fungu la 2, na gazeti la Mnara wa Mlinzi la Desemba 15, 2010, ukurasa wa 9-11, fungu la 12-16. Kazia jinsi ambavyo kuhubiri ni “kazi njema” na ni pendeleo. (Tito 2:14) Eleza jinsi kweli tunazojua zinavyotuchochea kuhubiri habari njema kwa bidii na kuongoza mafunzo ya Biblia. Wapongeze wahubiri kwa bidii ambayo wameonyesha kwa ajili ya kazi njema.
Dak. 10: “Kutangaza kwa Bidii Ukweli Kumhusu Yesu.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho linalotegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Mei 15, 2014, ukurasa wa 8, fungu la 8, chini ya sehemu “Hali ya kwanza.” Katika onyesho hilo, mhubiri anatumia mfano ulio kwenye ukurasa wa 9 fungu la 13.
Wimbo 5 na Sala