Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 2/15 uku. 4
  • Kuchocheana kwa Bidii Katika Matendo Mazuri

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuchocheana kwa Bidii Katika Matendo Mazuri
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Habari Zinazolingana
  • Mfikiriane Na Kutiana Moyo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Kuchochea Kwenye Upendo na Kazi Zilizo Bora—Jinsi Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
  • Mikutano Huchochea Kwenye Kazi Zilizo Bora
    Huduma Yetu ya Ufalme—1997
  • Watu Wenye Juhudi ya Kazi Njema
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1975
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2015
km 2/15 uku. 4

Kuchocheana kwa Bidii Katika Matendo Mazuri

Andiko la Waebrania 10:24 linatutia moyo “tufikiriane ili kuchocheana katika upendo na matendo mazuri.” Tunaweza kuwachochea ndugu zetu kupitia imani yetu na mfano tunaowawekea. Waeleze wengine kutanikoni mambo yenye kutia moyo uliyojionea. Acha waone shangwe unayopata kwa kumtumikia Yehova. Lakini epuka kuwalinganisha na wengine au kulinganisha hali zao na zako. (Gal. 6:4) Tunapaswa kutumia uwezo wetu kuwachochea wengine katika “upendo na matendo mazuri,” wala si katika hatia na matendo mazuri. (Ona kitabu Shule ya Huduma, uku. 158, fu. 3.) Tukiwachochea katika upendo, basi watatenda matendo mazuri kama vile kuonyesha ukarimu au kuhubiri.—2 Kor. 1:24.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki