Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 9
JUMA LINALOANZA MACHI 9
Wimbo 44 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 21 ¶9-15 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 1-4 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Samweli 2:30-36 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Biblia Ilitabiri Nini Kuhusu Masihi?—igw uku. 10 (Dak. 5)
Na. 3: Sifa za Kustahili kwa Ajili ya Huduma—td 22B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Uwe Tayari kwa Ajili ya Kila Kazi Njema.’—Tito 3:1.
Dak. 10: “Uwe Tayari kwa Ajili ya Kila Kazi Njema.” Hotuba inayotegemea kichwa cha mwezi huu. Soma na uzungumzie Methali 21:5, Tito 3:1, na 1 Petro 3:15. Eleza jinsi matayarisho mazuri yanavyoweza kuwanufaisha Wakristo. Zungumzia kwa ufupi baadhi ya sehemu za Mkutano wa Utumishi za mwezi huu, na uzungumzie jinsi zinavyohusiana na kichwa cha mwezi.
Dak. 10: Mhoji Mwangalizi wa Shule ya Huduma ya Kitheokrasi. Mgawo wako unahusisha nini? Unajitayarishaje ili kuongoza shule kila juma? Kwa nini wanafunzi wanapaswa kutayarisha vizuri migawo yao? Wahubiri watafaidikaje wakisoma mapema habari zote zitakazozungumziwa kwenye mkutano?
Dak. 10: “Je, Unajitayarisha kwa Ajili ya Ukumbusho?” Mazungumzo. Zungumzia kwa ufupi habari zilizo katika Huduma Yetu ya Ufalme ya Machi 2013, ukurasa wa 2. Tia ndani onyesho la mhubiri anayemkaribisha mgeni kwenye Ukumbusho.
Wimbo 8 na Sala