Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 6
JUMA LINALOANZA APRILI 6
Wimbo 124 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 22 ¶18-22, sanduku kwenye uku. 228 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 16-18 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Samweli 18:17-24 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Je, Mungu Ndiye Chanzo cha Mateso Yanayotupata?—igw uku. 14 ¶1-4 (Dak. 5)
Na. 3: Sala Ambazo Mungu Husikia—td 29A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Uwe Tayari kwa Ajili ya Kila Kazi Njema.’—Tito 3:1.
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Aprili. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi ya kutoa magazeti kwa kutumia mapendekezo kwa ajili ya utumishi. Kisha changanua mapendekezo hayo.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia mapendekezo yaliyo katika makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kusitawisha Upendezi wa Watu Wanaopokea Magazeti Yetu kwa Ukawaida.” Waombe wahubiri wasimulie mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Wimbo 106 na Sala