Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 13
JUMA LINALOANZA APRILI 13
Wimbo 18 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 23 ¶1-9 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 19-22 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Samweli 21:10–22:4 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Kwa Nini Sala Fulani Hazikubaliki?—td 29B (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Wanadamu Huteseka?—igw uku. 15 ¶1-4 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: Tembeeni kama watu wenye hekima kwa ‘kujinunulia wakati unaofaa.’—Efe. 5:15, 16.
Dak. 10: Tembeeni Kama Watu Wenye Hekima kwa ‘Kujinunulia Wakati Unaofaa.’ Hotuba inayokazia kichwa cha mwezi huu.—Efe. 5:15, 16; ona Mnara wa Mlinzi, Mei 15, 2012, uku. 19-20, fu. 11-14.
Dak. 20: “Tumia Wakati Wako kwa Hekima Katika Huduma.” Mazungumzo.
Wimbo 98 na Sala