Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 25
JUMA LINALOANZA MEI 25
Wimbo 56 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 25 ¶1-8 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 13-15 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Samweli 13:34–14:7 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Biblia Inasema Nini Kuhusu Kufanya Kazi?—igw uku. 20 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Je, ni Kosa Kushutumu Mafundisho ya Uwongo?—td 4B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: Wasaidie watu wa namna zote wapate ujuzi sahihi wa kweli.—1 Tim. 2:3, 4.
Dak. 10: Mhoji Mwangalizi wa Kikundi cha Utumishi. Mgawo wako unahusisha mambo gani? Unafanya jitihada gani ili kufanya ziara za uchungaji na kuwasaidia wahubiri walio katika kikundi chako washiriki katika huduma? Kwa nini ni muhimu kwa wahubiri kukujulisha wanapobadili anwani zao au namba zao za simu? Kwa nini huenda wazee wakapanga vikundi vya utumishi vikutane maeneo tofauti tofauti kwa ajili ya utumishi, badala ya kukutana sehemu moja?
Dak. 20: “Wasaidie Vipofu Wajifunze Kumhusu Yehova.” Maswali na majibu. Panga kuwe na onyesho.
Wimbo 96 na Sala