Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 22
JUMA LINALOANZA JUNI 22
Wimbo 67 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 26 ¶10-17 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 1-2 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Wafalme 1:15-27 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Kwa Nini Wakristo wa Kweli Wameridhika na Wana Furaha?—igw uku. 23 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Watakaofufuliwa Wataishi Wapi?—td 35B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Kumbuka siku za kale.”—Kum. 32:7.
Dak. 7: “Mwaliko wa Moja kwa Moja.” Maswali na majibu. Panga kuwe na onyesho fupi la jinsi ya kutoa mwaliko. Onyesho hilo lifanywe mnapozungumzia fungu la 3.
Dak. 10: “Vikumbusho vya Kusanyiko la Eneo.” Mazungumzo. Sehemu hii ishughulikiwe na mwandishi. Kazia kanuni za Biblia zilizo katika makala hiyo na uzungumzie jinsi zinavyoweza kutumiwa wakati wa kusanyiko la eneo la mwaka 2015. Pia, zungumzia mambo machache muhimu yaliyo katika barua kwa makutaniko yote ya Agosti 3, 2013, kuhusu kudumisha usalama tunapohudhuria programu za kiroho.
Dak. 13: Yehova Aliushikaje Mkono Wako? (Isa. 41:13) Mhoji mhubiri mmoja au wawili ambao wamemtumikia Yehova kwa uaminifu kwa miaka mingi kuhusu jinsi ambavyo amewasaidia kukabiliana na hali ngumu katika utumishi.
Wimbo 107 na Sala