Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 29
JUMA LINALOANZA JUNI 29
Wimbo 9 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 26 ¶18-23, sanduku kwenye uku. 269 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 3-6 (Dak. 8)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Kumbuka siku za kale.”—Kum. 32:7.
Dak. 10: Pindi za Kushangilia. Mazungumzo yanayotegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Septemba 15, 2012, ukurasa wa 31-32, fungu la 15-19. Wachochee wahubiri wawe na hamu ya kuhudhuria kusanyiko la eneo. Kwa kutumia programu ya kusanyiko inayopatikana kwenye jw.org/sw, watie moyo wote wapitie habari zitakazozungumziwa kusanyikoni.
Dak. 10: Machapisho Yatakayotolewa Mwezi wa Julai. Mazungumzo. Zungumzia mambo yaliyo katika machapisho hayo na upange kuwe na onyesho la mhubiri anayemsaidia mhubiri mpya kutayarisha utangulizi wake.
Dak. 10: Faidika kwa Kusoma Kitabu cha Mwaka—2015. Mazungumzo. Pitia kwa ufupi “Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza.” Waombe wasikilizaji wasimulie mambo yaliyowapendeza zaidi katika ripoti ya ulimwenguni pote. Watie wote moyo wamalize kusoma Kitabu cha Mwaka.
Wimbo 108 na Sala