Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 24
JUMA LINALOANZA AGOSTI 24
Wimbo 21 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 29 ¶11-15 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 5-8 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Wafalme 6:20-31 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Vitabu vya Maandiko ya Kiebrania Vina Ujumbe Gani?—igw uku. 30 (Dak. 5)
Na. 3: “Kuokolewa kwa Watu Wote Ulimwenguni” Si Wazo la Kimaandiko—td 42 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Mimi na nyumba yangu, tutamtumikia Yehova.” —Yos. 24:15.
Dak. 15: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 15: Unawezaje Kuboresha Ibada Yenu ya Familia? Mazungumzo yanayotegemea Huduma Yetu ya Ufalme ya Januari 2011, ukurasa wa 6. Ikitegemea hali, waonyeshe wasikilizaji sehemu mbalimbali za miradi ya Ibada ya Familia zinazopatikana katika Tovuti ya jw.org (Angalia chini ya MAFUNDISHO YA BIBLIA > WATOTO.) Kazia kwamba ibada ya familia inapaswa ifaane na mahitaji ya familia na ijenge imani yao katika Yehova na ahadi zake.
Wimbo 130 na Sala