Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 31
JUMA LINALOANZA AGOSTI 31
Wimbo 42 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 29 ¶16-21, sanduku kwenye uku. 299 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 9-11 (Dak. 8)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Mimi na nyumba yangu, tutamtumikia Yehova.” —Yos. 24:15.
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Septemba. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi ya kutoa magazeti kwa kutumia mapendekezo kwa ajili ya utumishi. Kisha zungumzia mapendekezo hayo.
Dak. 10: Je, Unapata ‘Chakula kwa Wakati Unaofaa’? Hotuba inayotegemea makala ya gazeti la Mnara wa Mlinzi la Agosti 15, 2014, ukurasa wa 3-5. Watie moyo wote watumie vizuri chakula cha kiroho kinachopatikana.
Dak. 10: Una Miradi Gani ya Kiroho Katika Mwaka wa Utumishi wa 2016? Mazungumzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 118, fungu la 3. Panga kuwe na onyesho la wenzi wa ndoa wakizungumzia miradi yao ya kiroho ya mwaka mpya wa utumishi.
Wimbo 10 na Sala