Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 19
JUMA LINALOANZA OKTOBA 19
Wimbo 54 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia uku. 2-3 na utangulizi ¶1-15 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 8-11 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 11:15-25 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Roho Takatifu ni Nini?—td 27A (Dak. 5)
Na. 3: Malaika Mkuu ni Nani? (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Tia mizizi’ na “kuimarishwa katika imani.”—Kol. 2:6, 7.
Dak. 20: “Jinsi ya Kufikia Mioyo ya Wale Tunaowafundisha.” Maswali na majibu. Panga maonyesho mawili tofauti. Mwenye nyumba anasema kwamba mtoto wake amekufa na sasa yuko mbinguni. Katika onyesho la kwanza, mhubiri anasoma andiko la Mhubiri 9:5 linaloeleza hali ya wafu. Andiko hilo halimfariji mwenye nyumba na anaitikia kwa njia isiyofaa. Katika onyesho la pili, mhubiri anatumia busara kwa kumwonyesha tumaini la ufufuo katika andiko la Yohana 5:28, 29 na mwenye nyumba anaitikia vizuri.
Dak. 10: Uwe Kijana au Mzee, Uwe Kielelezo Kizuri kwa Wengine. (Flp. 3:17; 1 Tim. 4:12) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2015 ukurasa wa 71, fungu la 2, hadi ukurasa wa 72, fungu la 5; na ukurasa wa 76-77. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Wimbo 90 na Sala