Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 10/15 uku. 4
  • Je, Neno la Mungu Linaongoza Maisha Yako Kila Siku?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Neno la Mungu Linaongoza Maisha Yako Kila Siku?
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Habari Zinazolingana
  • Kunufaika kwa Usomaji wa Biblia Kila Siku
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
  • Jitahidi Uwe Msomaji Mzuri
    Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Pata Manufaa Kamili kwa Kusoma Biblia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Usomaji wa Biblia—Wenye Kufaidi na Wenye Kupendeza
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2015
km 10/15 uku. 4

Je, Neno la Mungu Linaongoza Maisha Yako Kila Siku?

Kusoma Biblia kila siku kunaweza kutusaidia ‘kutia mizizi’ na “kuimarishwa katika imani.” (Kol. 2:6, 7) Hata hivyo, ili Neno la Mungu liongoze maisha yetu, lazima tutafakari na kutumia kanuni zake. (Ebr. 4:12; Yak. 1:22-25) Andiko la Yoshua 1:8 linaonyesha hatua tatu zenye matokeo: (1) Soma Neno la Mungu “mchana na usiku.” (2) Soma “kwa sauti ya chini,” yaani, usome kwa mwendo utakaokuruhusu kutafakari na kuwazia mandhari na hali zilizokuwepo. (3) Jitahidi kutumia “yote ambayo yameandikwa ndani yake.” Kufuata madokezo hayo kutatusaidia ‘tufanikiwe’ na ‘tutende kwa hekima’ katika maisha yetu ya kila siku.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki