Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 2
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 2
Wimbo 52 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia sura ya 1 ¶14-27, mambo ya kufikiria kwenye uku. 16 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 16-20 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 17:15-27 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Sanduku la Agano Lilikuwa Nini? (Dak. 5)
Na. 3: Nguvu za Uhai za Wanadamu na Wanyama Zinaitwa Roho—td 27B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Tia mizizi’ na “kuimarishwa katika imani.”—Kol. 2:6, 7.
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Novemba. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa kwa kutumia mapendekezo kwa ajili ya utumishi yaliyo kwenye ukurasa huu. Kisha changanua mapendekezo hayo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulipata Matokeo Gani? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyonufaika kwa kutumia mapendekezo yaliyotolewa katika makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuwazoeza Wanafunzi wa Biblia Wawe na Mazoea Mazuri ya Kujifunza.” Waombe wasimulie mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo.
Wimbo 140 na Sala
Kikumbusho: Tafadhali sikilizeni kwanza muziki wa piano, kisha mwimbe wimbo huo mpya.