Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 16
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 16
Wimbo 17 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia sura ya 2 ¶13-23, mambo ya kufikiria kwenye uku. 24 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 26-29 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 29:20-30 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: “Upatanisho” Maana Yake Nini? (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Yehova Si Sehemu ya Utatu—td 39A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, lakini Mungu akaendelea kuikuza.”—1 Kor. 3:6.
Dak. 10: Endelea Kutia Maji Wale Wanaopendezwa. (1 Kor. 3:6-8) Mhoji painia wa kawaida na mhubiri. Wana ratiba gani ya kufanya ziara za kurudia? Wanajitayarishaje? Wanafanya nini ili kuhakikisha wanampata tena mtu aliyependezwa? Wamepata matokeo gani mazuri?
Dak. 20: “Rekodi za Kusikiliza—Jinsi ya Kuzitumia.” Maswali na majibu. Eleza jinsi wahubiri wanavyoweza kupata rekodi za kusikiliza kwenye Tovuti ya jw.org. Sikilizeni rekodi moja kutoka jw.org/sw. Panga kuwe na onyesho la jambo lililosimuliwa mwishoni mwa makala yenye kichwa “Tumia Tovuti Yetu Katika Huduma—‘Majibu ya Maswali ya Biblia’” katika Huduma Yetu ya Ufalme ya Novemba 2014.
Wimbo 108 na Sala