Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 11/15 uku. 3
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 23

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 23
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA NOVEMBA 23
Huduma Yetu ya Ufalme—2015
km 11/15 uku. 3

Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 23

JUMA LINALOANZA NOVEMBA 23

Wimbo 26 na Sala

Funzo la Biblia la Kutaniko:

ia sura ya 3 ¶1-13, sanduku kwenye uku. 29 (Dak. 30)

Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 1-5 (Dak. 8)

Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 3: 14–4:6 (Isizidi dak. 3)

Na. 2: Mwana Si Sawa na Baba—td 39B (Dak. 5)

Na. 3: Kuna Aina Zipi za Ubatizo? (Dak. 5)

Mkutano wa Utumishi:

Kichwa cha Mwezi Huu: “Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, lakini Mungu akaendelea kuikuza.”—1 Kor. 3:6.

Wimbo 47

Dak. 10: “Matayarisho Ni Muhimu Ili Kufundisha kwa Ustadi.” Hotuba.

Dak. 10: Mwenendo Mzuri Hutuwezesha Kupanda Mbegu za Kweli. Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2015, ukurasa wa 49, fungu la 3, hadi ukurasa wa 52, fungu la 1; na ukurasa wa 140, fungu la 3, hadi ukurasa wa 141, fungu la 3. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo waliyojifunza.

Dak. 10: “Tumia Sehemu Mbalimbali za Kitabu Biblia Inafundisha kwa Ustadi.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho fupi.

Wimbo 123 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki