Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 23
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 23
Wimbo 26 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia sura ya 3 ¶1-13, sanduku kwenye uku. 29 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 1-5 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 3: 14–4:6 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Mwana Si Sawa na Baba—td 39B (Dak. 5)
Na. 3: Kuna Aina Zipi za Ubatizo? (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, lakini Mungu akaendelea kuikuza.”—1 Kor. 3:6.
Dak. 10: “Matayarisho Ni Muhimu Ili Kufundisha kwa Ustadi.” Hotuba.
Dak. 10: Mwenendo Mzuri Hutuwezesha Kupanda Mbegu za Kweli. Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2015, ukurasa wa 49, fungu la 3, hadi ukurasa wa 52, fungu la 1; na ukurasa wa 140, fungu la 3, hadi ukurasa wa 141, fungu la 3. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo waliyojifunza.
Dak. 10: “Tumia Sehemu Mbalimbali za Kitabu Biblia Inafundisha kwa Ustadi.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho fupi.
Wimbo 123 na Sala