Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mei uku. 5
  • Mei 16-22

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mei 16-22
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Mei uku. 5

Mei 16-22

ZABURI 11-18

  • Wimbo 106 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Ni Nani Atakayekuwa Mgeni Katika Hema la Yehova?”: (Dak. 10)

    • Zb 15:1, 2—Ni lazima tuseme kweli katika moyo wetu (w03 8/1 13 ¶18; w89 9/15 27 ¶1)

    • Zb 15:3—Ni lazima tuwe wanyoofu katika maneno yetu (w89 10/15 12 ¶10-11; w89 9/15 27 ¶2-3; w14 2/15 23 ¶10-11; it-2 779)

    • Zb 15:4, 5—Ni lazima tuwe washikamanifu katika mwenendo wetu wote (w06 5/15 19 ¶2; w89 9/15 29-30; it-1 1211 ¶3)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Zb 11:3—Mstari huu unamaanisha nini? (w06 5/15 18 ¶3; w05 5/15 32 ¶2)

    • Zb 16:10—Yesu Kristo alitimizaje unabii huu? (w11 8/15 16 ¶19; w05 5/1 14 ¶9)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Zb 18:1-19

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) wp16.3 16—Soma andiko kwenye kifaa cha mkononi.

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) wp16.3 16—Soma maandiko kwenye programu ya JW Library ili mwenye nyumba, anayezungumza lugha nyingine, aone tafsiri katika lugha yake.

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 100-101 ¶10-11—Mwonyeshe kwa ufupi mwanafunzi jinsi ya kutumia JW Library kutafuta swali alilouliza.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 70

  • “Jinsi ya Kutumia JW Library”—Sehemu ya 1: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha na mzungumzie video zenye kichwa Tumia Alama za Kukumbuka Ukurasa na Tumia Historia. Kisha mzungumzie vichwa vidogo viwili vya kwanza vya makala hiyo. Waombe wasikilizaji waeleze ni katika njia gani nyingine wametumia JW Library katika funzo la kibinafsi na mikutano ya kutaniko.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 15 ¶15-26, mambo ya kufikiria kwenye uku. 134

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 43 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki