HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 120-134
“Msaada Wangu Unatoka kwa Yehova”
Zaburi ya 120 hadi ya 134 zinajulikana kuwa ni Nyimbo za Mipando. Watu wengi huamini kwamba mistari hiyo iliimbwa waabudu Waisraeli wenye shangwe walipopanda kwenda Yerusalemu, jiji lililokuwa kwenye milima ya Yuda, ili kuhudhuria sherehe za kila mwaka.
Ulinzi wa Yehova unaelezewa kupitia maneno ya mfano kama vile . . .
mchungaji aliye macho kabisa
kivuli wakati wa jua
askari-jeshi mshikamanifu