Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Septemba uku. 4
  • “Msaada Wangu Unatoka kwa Yehova”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Msaada Wangu Unatoka kwa Yehova”
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Kitabu Cha Biblia Namba 19—Zaburi
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Mungu Mwenye Furaha, Watu Wenye Furaha!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1987
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Tano cha Zaburi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • Nyimbo Zilizoongozwa na Roho Ambazo Zinafariji na Kufundisha
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Septemba uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 120-134

“Msaada Wangu Unatoka kwa Yehova”

Zaburi ya 120 hadi ya 134 zinajulikana kuwa ni Nyimbo za Mipando. Watu wengi huamini kwamba mistari hiyo iliimbwa waabudu Waisraeli wenye shangwe walipopanda kwenda Yerusalemu, jiji lililokuwa kwenye milima ya Yuda, ili kuhudhuria sherehe za kila mwaka.

Waabudu Waisraeli wakipanda kwenda Yerusalemu

Ulinzi wa Yehova unaelezewa kupitia maneno ya mfano kama vile . . .

121:3-8

  • Mchungaji

    mchungaji aliye macho kabisa

  • Mti unaandaa kivuli wakati wa jua

    kivuli wakati wa jua

  • Askari-jeshi

    askari-jeshi mshikamanifu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki