Septemba 12-18
ZABURI 120-134
Wimbo 33 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Msaada Wangu Unatoka kwa Yehova”: (Dak. 10)
Zb 121:1, 2—Kwa kuwa Yehova ndiye aliyeumba kila kitu, tuna msingi wa kuwa na uhakika kwamba ana uwezo wa kutusaidia (w04 12/15 12 ¶3)
Zb 121:3, 4—Yehova huwa macho kuona mahitaji ya watumishi wake (w04 12/15 13 ¶4)
Zb 121:5-8—Yehova huwalinda kwa ushikamanifu watu wake (w04 12/15 13 ¶5-7)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Zb 123:2—Mfano kuhusu “macho ya watumishi” unamaanisha nini? (w06 9/1 15 ¶4)
Zb 133:1-3—Zaburi hii inatufundisha jambo gani? (w06 9/1 16 ¶3)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Zb 127:1–129:8
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) wp16.5 jalada —Mjibu mwenye nyumba aliyekasirika.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) wp16.5 jalada—Mwalike mwenye nyumba mkutanoni.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) fg somo la 8 ¶6—Msaidie mwanafunzi aone jinsi anavyoweza kutumia habari.
MAISHA YA MKRISTO
Yehova Amenisaidia Sana: (Dak. 15) Onyesha video Yehova Amenisaidia Sana inayopatikana kwenye jw.org/sw. (Tafuta kwenye KUTUHUSU > UTENDAJI.) Zungumzia maswali yafuatayo: Yehova amemsaidiaje Crystal, na hilo limemchocheaje? Yeye hufanya nini anapolemewa na hisia zisizofaa? Kisa cha Crystal kimekusaidiaje?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia Umalizio ¶1-13
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 119 na Sala