Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Machi uku. 3
  • Machi 13-19

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Machi 13-19
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Machi uku. 3

Machi 13-19

Yeremia 5-7

  • Wimbo 66 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu”: (Dak. 10)

    • Yer 6:13-15—Yeremia alifunua dhambi za taifa (w88 4/1 11-12 ¶7-8)

    • Yer 7:1-7—Yehova alijaribu kuwachochea watubu (w88 4/1 12 ¶9-10)

    • Yer 7:8-15—Waisraeli waliamini kwamba Yehova hangechukua hatua yoyote (jr 21 ¶12)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 6:16—Yehova aliwasihi watu wake wafanye nini? (w05 11/1 23-24 ¶11)

    • Yer 6:22, 23—Kwa nini ingeweza kusemwa kwamba kikundi cha watu kingekuja “kutoka nchi ya kaskazini”? (w88 4/1 13 ¶15)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kushiriki na wengine katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yer 5:26–6:5

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) T-36—Weka msingi wa ziara ya kurudia.

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) T-36—Zungumzia kisanduku “Jambo la Kufikiria.” Mwalike kwenye Ukumbusho.

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) jl somo la 1—Mwalike kwenye Ukumbusho.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 125

  • “Jinsi ya Kutumia Broshua Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?”: (Dak. 15) Anza kwa kuzungumzia makala iliyo kwenye Daftari kwa dakika tano. Kisha onyesha na mzungumzie video inayoonyesha jinsi unavyoweza kuchunguza somo la 8 katika broshua hiyo pamoja na mwanafunzi wa Biblia. Watie moyo wale wote wanaoongoza mafunzo ya Biblia watumie broshua hiyo kila juma.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 9 ¶16-21, sanduku “Jinsi Trakti Mbili Zilivyogusa Mioyo ya Watu Wawili Huko Amazoni”, na sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 10 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki