HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 5-7
Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu
Kwa ujasiri Yeremia alifunua dhambi na unafiki wa Waisraeli
Waisraeli waliona hekalu kuwa hirizi ambayo ingewalinda
Yehova alisema wazi kwamba dhabihu za kidesturi haziwezi kufunika matendo maovu
Jiulize: Ninaweza kuhakikishaje kwamba ibada yangu si ya kidesturi na inapatana na mapenzi ya Yehova?
Yeremia akiwa katika lango la nyumba ya Yehova