HAZINA NA NENO LA MUNGU | YEREMIA 25-28
Uwe Jasiri Kama Yeremia
Yeremia alionya kuwa Yerusalemu lingeharibiwa kama Shilo
Pindi fulani sanduku la agano, ambalo liliwakilisha kuwapo kwa Yehova, lilikuwa Shilo.
Yehova aliwaruhusu Wafilisti walichukue Sanduku, na halikurudishwa tena Shilo
Makuhani, manabii, na watu wote walitisha kumuua Yeremia
Watu walimkamata Yeremia kwa sababu aliendelea kutoa unabii dhidi ya Yerusalemu na hekalu
Yeremia hakukata tamaa na kutoroka
Yehova alimlinda Yeremia
Yeremia aliendelea kutenda kwa ujasiri na Yehova hakumwacha kamwe
Mungu alimchochea Ahikamu mwenye ujasiri kumlinda Yeremia
Kwa sababu Yehova alimtegemeza na kumtia moyo, Yeremia alifaulu kuhubiri kwa miaka 40 ujumbe ambao haukupendwa na watu wengi