Mei 29–Juni 4
YEREMIA 49-50
Wimbo 102 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yehova Huwabariki Wanyenyekevu na Kuwaadhibu Wenye Kiburi”: (Dak. 10)
Yer 50:4-7—Mabaki ya Waisraeli waliotubu na wanyenyekevu, wangewekwa huru kutoka utekwani na kurudi Sayuni
Yer 50:29-32—Babiloni lingeharibiwa kwa kutenda kwa kiburi dhidi ya Yehova (it-1 54)
Yer 50:38, 39—Babiloni halingekaliwa tena kamwe (jr 161 ¶15; w98 4/1 20 ¶20)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yer 49:1, 2—Kwa nini Yehova aliwakemea Waamoni? (it-1 94 ¶6)
Yer 49:17, 18—Ni jinsi gani Edomu lilikuwa kama Sodoma na Gomora, na kwa nini? (jr 163 ¶18; ip-2 351 ¶6)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo umepata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yer 50:1-10
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) T-32—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) T-32—Zungumzieni sehemu yenye kichwa “Jambo la Kufikiria.” Weka msingi wa ziara inayofuata.
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w15 3/15 17-18—Kichwa: Katika Miaka ya Karibuni, Kwa Nini Machapisho Yetu Yameeleza Mara Chache Sana Kwamba Simulizi Fulani Ni Ufananisho au Kivuli cha Jambo Lingine?
MAISHA YA MKRISTO
Toa Boriti: (Dak. 15) Onyesha video Toa Boriti. (Kwenye sehemu ya video, tafuta chini ya BIBLIA.) Kisha zungumzieni maswali yafuatayo: Ndugu huyo alionyeshaje kwamba alikuwa na mtazamo wa kiburi na wa kuchambua-chambua? Ni nini kilichomsaidia abadili kufikiri kwake? Alinufaikaje?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 13 ¶11-23
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 131 na Sala