HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 49-50
Yehova Huwabariki Wanyenyekevu na Kuwaadhibu Wenye Kiburi
Waisraeli waliotubu wangelia kwa shangwe wakati ambapo Yehova angewakomboa kutoka utekwani
Wangetambua na kukubali tena agano lao pamoja naye na kufunga safari ndefu kurudi Yerusalemu ili kurudisha ibada safi
Babiloni lenye kiburi halingekosa kuadhibiwa kwa kuwatendea watu wa Yehova kwa ukatili kupita kiasi
Kama ilivyotabiriwa, Babiloni likawa magofu yasiyokaliwa