HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 39-43
Yehova Atamlipa Kila Mmoja Kulingana na Kazi Yake
Sedekia hakutii mwongozo wa Yehova wa kujisalimisha kwa Wababiloni
Wana wa Sedekia waliuawa mbele ya macho yake. Kisha, akapofushwa, akafungwa pingu za shaba, na kutiwa gerezani Babiloni hadi alipokufa
Ebed-meleki alionyesha kwamba alimtegemea Yehova na alimhangaikia nabii Wake Yeremia
Yehova aliahidi kumlinda Ebed-meleki wakati ambapo Yuda lingeharibiwa
Yeremia alihubiri kwa ujasiri kwa miaka mingi kabla ya Yerusalemu kuharibiwa
Yehova alimlinda Yeremia wakati Yerusalemu lilipozingirwa na akafanya mipango ili aachiliwe na Wababiloni