Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mei uku. 7
  • Yehova Huwabariki Wanyenyekevu na Kuwaadhibu Wenye Kiburi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Huwabariki Wanyenyekevu na Kuwaadhibu Wenye Kiburi
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Babuloni Wenye Uweza Ile Serikali Kubwa ya Tatu ya Ulimwengu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
  • Yehova Atamlipa Kila Mmoja Kulingana na Kazi Yake
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Kitabu Cha Biblia Namba 26—Yeremia
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Yehova Anyenyekeza Jiji Lenye Kujigamba
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Mei uku. 7

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 49-50

Yehova Huwabariki Wanyenyekevu na Kuwaadhibu Wenye Kiburi

50:4-7

  • Waisraeli waliotubu wangelia kwa shangwe wakati ambapo Yehova angewakomboa kutoka utekwani

  • Wangetambua na kukubali tena agano lao pamoja naye na kufunga safari ndefu kurudi Yerusalemu ili kurudisha ibada safi

    Waisraeli wakitoka Babiloni

50:29, 39

  • Babiloni lenye kiburi halingekosa kuadhibiwa kwa kuwatendea watu wa Yehova kwa ukatili kupita kiasi

  • Kama ilivyotabiriwa, Babiloni likawa magofu yasiyokaliwa

    Mwanamume wa Babiloni mwenye kiburi, na magofu ya Babiloni yakikaliwa na wanyama mwitu
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki