HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 42-45
Ibada Safi Yarudishwa!
Maono ya Ezekieli ya hekalu yaliwahakikishia mabaki ya Wayahudi waaminifu waliokuwa uhamishoni kwamba ibada safi ingerudishwa. Wakati huohuo, yaliwakumbusha viwango vya juu vya Yehova kuhusu ibada safi.
Makuhani wangewafundisha watu viwango vya Yehova
Orodhesha mifano inayoonyesha jinsi mtumwa mwaminifu na mwenye busara ametufundisha tofauti kati ya kitu kilicho safi na kitu kisicho safi. (kr 110-117)
Watu wangewategemeza wale wanaoongoza
Tunaweza kuwasaidia wazee wa kutaniko katika njia zipi?