Septemba 4-10
EZEKIELI 42-45
Wimbo 31 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ibada Safi Yarudishwa!”: (Dak. 10)
Eze 43:10-12—Maono ya Ezekieli ya hekalu yalikusudiwa kuwachochea Wayahudi waliokuwa uhamishoni watubu na kuwahakikishia kwamba ibada safi ingerudishwa mahali pake panapofaa na katika hali yake iliyokwezwa (w99 3/1 8 ¶3; it-2 1082 ¶2)a
Eze 44:23—Makuhani wangewafundisha watu kuhusu “tofauti kati ya kitu ambacho si safi na kitu safi”
Eze 45:16—Watu wangewategemeza wale ambao Yehova aliwachagua waongoze (w99 3/1 10 ¶10)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 43:8, 9—Waisraeli walitiaje unajisi jina la Mungu? (it-2 467 ¶4)
Eze 45:9, 10—Sikuzote Yehova amedai nini kutoka kwa wale wanaotamani kupata kibali chake? (it-2 140)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 44:1-9
BORESHA HUDUMA YAKO
Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo yanayotegemea “Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi.” Onyesha video za mapendekezo, halafu mzungumzie mambo makuu. Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho.
MAISHA YA MKRISTO
“Kwa Nini Unathamini Ibada Safi?”: (Dak. 15) Mazungumzo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 17 ¶10-18
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 97 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: w = Mnara wa Mlinzi; it = Insight on the Scriptures; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala!; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; bh = Biblia Inafundisha Nini Hasa?; yb17 = Kitabu cha Mwaka—2017; dp = Unabii wa Danieli; inv = Mwaliko wa Kuhudhuria Mikutano