Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Septemba uku. 4
  • Baraka Ambazo Waisraeli Waliorudishwa Wangefurahia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Baraka Ambazo Waisraeli Waliorudishwa Wangefurahia
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • ‘Weka Moyoni Mwako’ Hekalu la Mungu!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1999
  • ‘Mtaigawa Nchi Iwe Urithi’
    Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
  • “Hii Ndiyo Sheria ya Hekalu”
    Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
  • “Waeleze . . . Kuhusu Hekalu”
    Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Septemba uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 46-48

Baraka Ambazo Waisraeli Waliorudishwa Wangefurahia

Maono ya Ezekieli ya hekalu yaliwatia moyo Waisraeli waliohamishwa na kuthibitisha kuwa unabii uliotolewa mapema kuhusu kurudishwa kwao ungetimia. Ibada safi ingekwezwa tena maishani mwa wale waliobarikiwa na Yehova.

Waisraeli waliorudishwa wakifurahia nchi inayonawiri

Maono hayo yalionyesha kwamba kungekuwa na utaratibu, ushirikiano, na usalama

47:7-14

  • Nchi ingenawiri na kuzaa

  • Kila familia ingepata urithi

Kabla ya nchi kugawanywa, fungu la pekee lilipaswa kuwekwa kando kama “mchango” kwa ajili ya Yehova

48:9, 10

Ninaweza kuonyeshaje kwamba ninatanguliza ibada ya Yehova maishani mwangu? (w06 4/15 27-28 ¶13-14)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki