Septemba 18-24
DANIELI 1-3
Wimbo 148 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Tunapata Thawabu Tunapokuwa Washikamanifu kwa Yehova”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Danieli.]
Da 3:16-20—Rafiki za Danieli walisimama imara licha ya kushinikizwa kuvunja ushikamanifu wao kwa Yehova (w15 7/15 25 ¶15-16)
Da 3:26-29—Ushikamanifu wao ulimletea Yehova sifa nao wakapata baraka (w13 1/15 10 ¶13)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Da 1:5, 8—Kwa nini Danieli na waandamani wake watatu walifikia mkataa kwamba kula vyakula vitamu vya mfalme kungewatia unajisi? (it-2 382)
Da 2:44—Kwa nini lazima Ufalme wa Mungu uvunje falme za kidunia zinazowakilishwa na ile sanamu? (w12 6/15 17, sanduku; w01 10/15 6 ¶4)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Da 2:31-43
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Isa 40:22—Fundisha Kweli—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Ro 15:4—Fundisha Kweli—Mwachie kadi ya mawasiliano ya JW.ORG.
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w17.02 29-30—Kichwa: Je, Yehova Huchanganua Mapema Tunaweza Kuhimili Mkazo Kadiri Gani na Kisha Kuchagua Majaribu Tutakayokabili?
MAISHA YA MKRISTO
“Uwe Mshikamanifu Unaposhawishiwa”: (Dak. 8) Mazungumzo.
“Uwe Mshikamanifu Mtu wa Ukoo Anapotengwa na Ushirika”: (Dak. 7) Mazungumzo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr “Sehemu ya 6—Kutegemeza Ufalme—Ujenzi wa Majengo ya Ibada na Kazi ya Kutoa Misaada,” sura ya 18 ¶1-8
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 72 na Sala