Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Septemba uku. 5
  • Septemba 18-24

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Septemba 18-24
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Septemba uku. 5

Septemba 18-24

DANIELI 1-3

  • Wimbo 148 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Tunapata Thawabu Tunapokuwa Washikamanifu kwa Yehova”: (Dak. 10)

    • [Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Danieli.]

    • Da 3:16-20—Rafiki za Danieli walisimama imara licha ya kushinikizwa kuvunja ushikamanifu wao kwa Yehova (w15 7/15 25 ¶15-16)

    • Da 3:26-29—Ushikamanifu wao ulimletea Yehova sifa nao wakapata baraka (w13 1/15 10 ¶13)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Da 1:5, 8—Kwa nini Danieli na waandamani wake watatu walifikia mkataa kwamba kula vyakula vitamu vya mfalme kungewatia unajisi? (it-2 382)

    • Da 2:44—Kwa nini lazima Ufalme wa Mungu uvunje falme za kidunia zinazowakilishwa na ile sanamu? (w12 6/15 17, sanduku; w01 10/15 6 ¶4)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Da 2:31-43

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Isa 40:22—Fundisha Kweli—Weka msingi wa ziara ya kurudia.

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Ro 15:4—Fundisha Kweli—Mwachie kadi ya mawasiliano ya JW.ORG.

  • Hotuba: (Isizidi dak. 6) w17.02 29-30—Kichwa: Je, Yehova Huchanganua Mapema Tunaweza Kuhimili Mkazo Kadiri Gani na Kisha Kuchagua Majaribu Tutakayokabili?

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 124

  • “Uwe Mshikamanifu Unaposhawishiwa”: (Dak. 8) Mazungumzo.

  • “Uwe Mshikamanifu Mtu wa Ukoo Anapotengwa na Ushirika”: (Dak. 7) Mazungumzo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr “Sehemu ya 6​—Kutegemeza Ufalme—Ujenzi wa Majengo ya Ibada na Kazi ya Kutoa Misaada,” sura ya 18 ¶1-8

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 72 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki