HAZINA ZA NENO LA MUNGU | DANIELI 1-3
Tunapata Thawabu Tunapokuwa Washikamanifu kwa Yehova
Simulizi la wale Waebrania watatu linaweza kuimarisha azimio letu la kuwa washikamanifu kwa Yehova
Kulingana na maandiko yafuatayo, ushikamanifu kwa Yehova unatia ndani nini?