Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Septemba uku. 4
  • Septemba 11-17

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Septemba 11-17
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Septemba uku. 4

Septemba 11-17

EZEKIELI 46-48

  • Wimbo 139 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Baraka Ambazo Waisraeli Waliorudishwa Wangefurahia”: (Dak. 10)

    • Eze 47:1, 7-12—Nchi iliyorudishwa ingenawiri (w99 3/1 10 ¶11-12)

    • Eze 47:13, 14—Kila familia ingepata urithi (w99 3/1 10 ¶10)

    • Eze 48:9, 10—Kabla ya nchi kugawanywa, fungu la pekee lilipaswa kuwekwa kando kama “mchango” kwa ajili ya Yehova

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Eze 47:1, 8; 48:30, 32-34—Kwa nini Wayahudi waliohamishwa hawakutazamia mambo yote katika maono ya Ezekieli ya hekalu yatimizwe kihalisi? (w99 3/1 11 ¶14)

    • Eze 47:6—Kwa nini Ezekieli aliitwa “mwana wa binadamu”? (it-2 1001)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 48:13-22

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) wp17.5 jalada​—Weka msingi wa ziara ya kurudia.

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) wp17.5​—Gazeti liliachwa katika ziara iliyotangulia. Onyesha jinsi ya kufanya ziara ya kurudia na umwonyeshe chapisho moja tunalotumia kuongoza mafunzo ya Biblia.

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 34 ¶17—Mkaribishe kwenye mkutano.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 62

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8) Au mnaweza kuzungumzia mambo tunayojifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb17 64-65)

  • Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Septemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 17 ¶19-20, sanduku “Shule Zinazowazoeza Wahudumu wa Ufalme,” sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 49 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki