Septemba 11-17
EZEKIELI 46-48
Wimbo 139 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Baraka Ambazo Waisraeli Waliorudishwa Wangefurahia”: (Dak. 10)
Eze 47:1, 7-12—Nchi iliyorudishwa ingenawiri (w99 3/1 10 ¶11-12)
Eze 47:13, 14—Kila familia ingepata urithi (w99 3/1 10 ¶10)
Eze 48:9, 10—Kabla ya nchi kugawanywa, fungu la pekee lilipaswa kuwekwa kando kama “mchango” kwa ajili ya Yehova
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 47:1, 8; 48:30, 32-34—Kwa nini Wayahudi waliohamishwa hawakutazamia mambo yote katika maono ya Ezekieli ya hekalu yatimizwe kihalisi? (w99 3/1 11 ¶14)
Eze 47:6—Kwa nini Ezekieli aliitwa “mwana wa binadamu”? (it-2 1001)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 48:13-22
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) wp17.5 jalada—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) wp17.5—Gazeti liliachwa katika ziara iliyotangulia. Onyesha jinsi ya kufanya ziara ya kurudia na umwonyeshe chapisho moja tunalotumia kuongoza mafunzo ya Biblia.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 34 ¶17—Mkaribishe kwenye mkutano.
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8) Au mnaweza kuzungumzia mambo tunayojifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb17 64-65)
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Septemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 17 ¶19-20, sanduku “Shule Zinazowazoeza Wahudumu wa Ufalme,” sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 49 na Sala