HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 46-48
Baraka Ambazo Waisraeli Waliorudishwa Wangefurahia
Maono ya Ezekieli ya hekalu yaliwatia moyo Waisraeli waliohamishwa na kuthibitisha kuwa unabii uliotolewa mapema kuhusu kurudishwa kwao ungetimia. Ibada safi ingekwezwa tena maishani mwa wale waliobarikiwa na Yehova.
Maono hayo yalionyesha kwamba kungekuwa na utaratibu, ushirikiano, na usalama
Nchi ingenawiri na kuzaa
Kila familia ingepata urithi
Kabla ya nchi kugawanywa, fungu la pekee lilipaswa kuwekwa kando kama “mchango” kwa ajili ya Yehova
Ninaweza kuonyeshaje kwamba ninatanguliza ibada ya Yehova maishani mwangu? (w06 4/15 27-28 ¶13-14)