Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Oktoba uku. 5
  • Oktoba 16-22

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Oktoba 16-22
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Oktoba uku. 5

Oktoba 16-22

HOSEA 1-7

  • Wimbo 108 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yehova Anashangilia Katika Upendo Mshikamanifu​—Namna Gani Wewe?”: (Dak. 10)

    • [Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Hosea.]

    • Ho 6:4, 5​—Yehova alikasirika kwa sababu Waisraeli hawakuwa na upendo mshikamanifu (w10 8/15 25 ¶18)

    • Ho 6:6​—Yehova anafurahi tunapoonyesha upendo mshikamanifu (w07 9/15 16 ¶8; w07 6/15 27 ¶7)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Ho 1:7​—Nyumba ya Yuda ilionyeshwa rehema na kuokolewa wakati gani? (w07 9/15 14 ¶7)

    • Ho 2:​18​—Mstari huu ulitimizwaje wakati uliopita na utatimizwaje wakati ujao? (w05 11/15 20 ¶16; g05 9/8 12 ¶2)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Ho 7:1-16

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) 1Yo 5:3​—Fundisha Kweli. Mwalike kwenye mikutano.

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Kum 30:11-14; Isa 48:17, 18​—Fundisha Kweli. Mwelekeze kwenye jw.org. (Ona mwb16.08 8 ¶2.)

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) lv 12-​13 ¶16-​18​—Onyesha jinsi ya kugusa moyo.

MAISHA YA MRISTO

  • Wimbo 100

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15) Hotuba itolewe na mzee. Anza kwa kutoa utangulizi wa dakika tano wa Kimaandiko unaotegemeaMnara wa Mlinzi la Novemba 15, 2015, ukurasa wa 14, kisha uonyeshe video yenye kichwa Mwongozo wa Kutoa Michango ya Kielektroni. Baada ya video, onyesha ukurasa wa “Jinsi ya Kuchangia Kazi ya Ulimwenguni Pote” kwenye jw.org, na upitie njia za kutoa michango kielektroni zilizoonyeshwa kwa ajili ya nchi yenu.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 20 ¶1-6, masanduku “Kazi ya Kwanza Kubwa ya Kutoa Msaada Katika Nyakati za Kisasa,” “Kujitayarisha kwa Ajili ya Msiba,” na “Msiba Unapotokea!”

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 107 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki