Julai 2-8
LUKA 6-7
Wimbo 109 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Wapimie Wengine kwa Ukarimu”: (Dak. 10)
Lu 6:37—Tukiwa na zoea la kuwasamehe wengine, sisi pia tutasamehewa (“Endeleeni kusamehe, nanyi mtasamehewa” habari za utafiti Lu 6:37, nwtsty; w08 5/15 9 ¶13-14)a
Lu 6:38—Tunapaswa kuwa na zoea la kuwapa wengine (“Muwe na mazoea ya kuwapa watu” habari za utafiti Lu 6:38, nwtsty)
Lu 6:38—Watu watatupimia kipimo ambacho tumewapimia wengine (“mfuko wa nguo zenu” habari za utafiti Lu 6:38, nwtsty)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Lu 6:12, 13—Yesu aliwawekea mfano gani Wakristo wanaotaka kufanya maamuzi makubwa? (w07 8/1 6 ¶1)
Lu 7:35—Maneno ya Yesu yanaweza kutusaidiaje ikiwa tumechongewa? (“watoto wake” habari za utafiti Lu 7:35, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Lu 7:36-50
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 197-198 ¶4-5
MAISHA YA MKRISTO
Iga Ukarimu wa Yehova: (Dak. 15) Onyesha video. Kisha zungumzieni maswali yafuatayo:
Yehova na Yesu wameonyeshaje ukarimu?
Yehova anabariki ukarimu wetu kwa njia zipi?
Inamaanisha nini kusamehe kwa ukarimu?
Ni katika njia zipi tunaweza kuwa wakarimu kuhusu wakati wetu?
Tunaweza kuonyeshaje ukarimu kwa kuwapongeza watu?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 27
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 57 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; it = Insight on the Scriptures; cl = Mkaribie Yehova; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu