Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Julai uku. 2
  • Julai 2-8

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Julai 2-8
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Julai uku. 2

Julai 2-8

LUKA 6-7

  • Wimbo 109 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Wapimie Wengine kwa Ukarimu”: (Dak. 10)

    • Lu 6:37—Tukiwa na zoea la kuwasamehe wengine, sisi pia tutasamehewa (“Endeleeni kusamehe, nanyi mtasamehewa” habari za utafiti Lu 6:37, nwtsty; w08 5/15 9 ¶13-14)a

    • Lu 6:38—Tunapaswa kuwa na zoea la kuwapa wengine (“Muwe na mazoea ya kuwapa watu” habari za utafiti Lu 6:38, nwtsty)

    • Lu 6:38—Watu watatupimia kipimo ambacho tumewapimia wengine (“mfuko wa nguo zenu” habari za utafiti Lu 6:38, nwtsty)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Lu 6:12, 13—Yesu aliwawekea mfano gani Wakristo wanaotaka kufanya maamuzi makubwa? (w07 8/1 6 ¶1)

    • Lu 7:35—Maneno ya Yesu yanaweza kutusaidiaje ikiwa tumechongewa? (“watoto wake” habari za utafiti Lu 7:35, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Lu 7:36-50

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.

  • Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.

  • Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 197-198 ¶4-5

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 108

  • Iga Ukarimu wa Yehova: (Dak. 15) Onyesha video. Kisha zungumzieni maswali yafuatayo:

    • Yehova na Yesu wameonyeshaje ukarimu?

    • Yehova anabariki ukarimu wetu kwa njia zipi?

    • Inamaanisha nini kusamehe kwa ukarimu?

    • Ni katika njia zipi tunaweza kuwa wakarimu kuhusu wakati wetu?

    • Tunaweza kuonyeshaje ukarimu kwa kuwapongeza watu?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 27

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 57 na Sala

a Ufupisho wa Machapisho: nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; it = Insight on the Scriptures; cl = Mkaribie Yehova; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki