Septemba 2-8
WAEBRANIA 7-8
Wimbo 16 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Kuhani Milele kwa Mfano wa Melkizedeki”: (Dak. 10)
Ebr 7:1, 2—Melkizedeki ambaye alikuwa mfalme na kuhani, alikutana na Abrahamu na akambariki (it-2 366)a
Ebr 7:3—Melkizedeki hakuwa na “ukoo” na “anadumu akiwa kuhani daima” (it-2 367 ¶4)
Ebr 7:17—Yesu ni “kuhani milele kwa mfano wa Melkizedeki” (it-2 366)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ebr 8:3—Zawadi zilizotolewa chini ya Sheria ya Musa zilitofautianaje na dhabihu? (w00 8/15 14 ¶11)
Ebr 8:13—Agano la Sheria lilifanywaje “lichakae” katika siku za Yeremia? (it-1 523 ¶5)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Ebr 7:1-17 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kutumia Picha na Video Vizuri, kisha mzungumzie somo la 9 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) it-1 524 ¶3-5—Kichwa: Agano jipya ni nini? (th somo la 7)
MAISHA YA MKRISTO
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 15) Onyesha video ya Septemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo. Watie moyo wote watembelee makao makuu ya ulimwenguni pote au ofisi ya tawi ya eneo lao ikiwa wanaweza.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 82
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 83 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: it = Insight On the Scriptures; w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; cf = Njoo Uwe Mfuasi Wangu; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu; g = Amkeni!; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?