HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WAEBRANIA 11
Imani Ni Sifa Muhimu Sana
Imani yenye nguvu inaweza kukusaidiaje katika hali zifuatazo?
Unapopokea mgawo mgumu wa kitheokrasi.—Ebr 11:8-10
Unapofiwa na mpendwa wako.—Ebr 11:17-19
Serikali inapopiga marufuku ibada yetu.—Ebr 11:23-26