Januari 20-26
MWANZO 6-8
Wimbo 89 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Hivyo Ndivyo Alivyofanya”: (Dak. 10)
Mwa 6:9, 13—Noa mwadilifu alizungukwa na uovu (w18.02 4 ¶4)
Mwa 6:14-16—Noa alipewa mgawo mgumu (w13 4/1 14 ¶1)
Mwa 6:22—Noa alionyesha imani kwa Yehova (w11 9/15 18 ¶13)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 7:2—Ni nini hasa kilichotofautisha kati ya wanyama safi na wasio safi? (w04 1/1 29 ¶7)
Mwa 7:11—Huenda maji yaliyosababisha Gharika duniani pote yalitoka wapi? (w04 1/1 30 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 6:1-16 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Mhubiri alizungumziaje andiko la 1 Yohana 4:8 pamoja na mwenye-nyumba? Wahubiri walishirikianaje kutoa ushahidi?
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 4) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 12)
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha, mpatie chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia (th somo la 7)
MAISHA YA MKRISTO
Ibada ya Familia: Noa—Alitembea Pamoja na Mungu: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha mzungumzie maswali yafuatayo: Wazazi katika video hiyo walitumiaje simulizi la Noa kuwafundisha watoto wao masomo muhimu? Uliona mambo gani ambayo mnaweza kutumia katika ibada yenu ya familia?
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 100
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 37 na Sala