Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Februari uku. 6
  • Februari 17-23

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Februari 17-23
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Februari uku. 6

Februari 17-23

MWANZO 18-19

  • Wimbo 1 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “‘Mwamuzi wa Dunia Yote’ Aangamiza Sodoma na Gomora”: (Dak. 10)

    • Mwa 18:23-25—Abrahamu alikuwa na uhakika kwamba sikuzote Yehova anahukumu kwa haki (w17.04 18 ¶1)

    • Mwa 18:32—Yehova alitoa uhakikisho kwamba hangeangamiza Sodoma ikiwa watu kumi waadilifu wangepatikana humo (w18.08 30 ¶4)

    • Mwa 19:24, 25—Yehova aliangamiza Sodoma na Gomora kwa sababu ya uovu wa watu walioishi huko (w10 11/15 26 ¶12)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 18:1, 22—Ni kwa njia gani ‘Yehova alimtokea’ Abrahamu na ‘kubaki’ naye? (w88 5/15 23 ¶4-5)

    • Mwa 19:26—Kwa nini mke wa Loti aligeuka na kuwa “nguzo ya chumvi”? (w19.06 20 ¶3)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 18:1-19 (th somo la 12)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Mhubiri alitoaje utangulizi mzuri wa andiko? Alionyeshaje waziwazi matumizi ya andiko hilo?

  • Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 6)

  • Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha umwonyeshe kitabu Biblia Inatufundisha, na mzungumzie picha iliyo kwenye ukurasa wa 98. (th somo la 9)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 35

  • “Je, Unafaidika Kutokana na Kuyachunguza Maandiko Kila Siku?”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Msiupende Ulimwengu (1Yo 2:15).

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30 jy sura ya 104

  • Umalizio (Usizidi dak. 3)

  • Wimbo 2 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki