Februari 17-23
MWANZO 18-19
Wimbo 1 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“‘Mwamuzi wa Dunia Yote’ Aangamiza Sodoma na Gomora”: (Dak. 10)
Mwa 18:23-25—Abrahamu alikuwa na uhakika kwamba sikuzote Yehova anahukumu kwa haki (w17.04 18 ¶1)
Mwa 18:32—Yehova alitoa uhakikisho kwamba hangeangamiza Sodoma ikiwa watu kumi waadilifu wangepatikana humo (w18.08 30 ¶4)
Mwa 19:24, 25—Yehova aliangamiza Sodoma na Gomora kwa sababu ya uovu wa watu walioishi huko (w10 11/15 26 ¶12)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 18:1, 22—Ni kwa njia gani ‘Yehova alimtokea’ Abrahamu na ‘kubaki’ naye? (w88 5/15 23 ¶4-5)
Mwa 19:26—Kwa nini mke wa Loti aligeuka na kuwa “nguzo ya chumvi”? (w19.06 20 ¶3)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 18:1-19 (th somo la 12)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Mhubiri alitoaje utangulizi mzuri wa andiko? Alionyeshaje waziwazi matumizi ya andiko hilo?
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 6)
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha umwonyeshe kitabu Biblia Inatufundisha, na mzungumzie picha iliyo kwenye ukurasa wa 98. (th somo la 9)
MAISHA YA MKRISTO
“Je, Unafaidika Kutokana na Kuyachunguza Maandiko Kila Siku?”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Msiupende Ulimwengu (1Yo 2:15).
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30 jy sura ya 104
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 2 na Sala