Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Februari uku. 6
  • “Mwamuzi wa Dunia Yote” Aangamiza Sodoma na Gomora

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mwamuzi wa Dunia Yote” Aangamiza Sodoma na Gomora
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
  • Tayarisha kwa Ajili ya Kukombolewa Kuingia Ndani ya Ulimwengu Mpya
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Mtumaini “Mwamuzi wa Dunia Yote” Mwenye Rehema!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2024
  • Mkumbuke Mke wa Loti
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Februari uku. 6

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 18-19

“Mwamuzi wa Dunia Yote” Aangamiza Sodoma na Gomora

18:23-25, 32; 19:24, 25

Tunajifunza nini kutokana na matendo ya Yehova dhidi ya Sodoma na Gomora?

  • Yehova hataendelea kuvumilia uovu milele

  • Wale watakaookoka hukumu inayokuja ni wale wanaozingatia mapenzi ya Mungu na kuyafanya.​—Lu 17:28-30

Ndugu kijana akikataa kushawishiwa na watu wasio Mashahidi kujiunga nao kunywa pombe, kuvuta sigara, na kucheza kamari.

JIULIZE HIVI: ‘Je, ninataabishwa na mwenendo mpotovu wa ulimwengu huu?’ (2Pe 2:7) ‘Je, maisha yangu ya kila siku yanaonyesha kwamba kufanya mapenzi ya Mungu ndilo jambo muhimu zaidi kwangu?’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki