HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 24
Isaka Apata Mke
Mtumishi wa Abrahamu alitafuta mwongozo wa Yehova alipokuwa akimchagulia Isaka mke. (Mwanzo 24:42-44) Sisi pia tunapaswa kutafuta mwongozo wa Yehova kabla ya kufanya maamuzi makubwa maishani. Jinsi gani?
Sali
Chunguza Neno la Mungu na machapisho ya Kikristo
Tafuta msaada kutoka kwa Wakristo waliokomaa kiroho